Wakuabudiwa Lyrics - Christina Shusho


Chorus:
Wakuabudiwa, wakuheshimiwa ni wewe mungu
Wakupewa sifa, na utukufu ni wewe mungu 
Mungu mwenye nguvu, wastahili heshima zote 
Hakuna mwingine, wakulinganishwa na wewe mungu ×2

Umesema wewe, jina lako liko na liko niwe mungu 
Unafanya mambo, yaliyo juu ya fahamu zetu mungu 
Ukisema ndio, nani awezaye kupinga hakuna 
Wewe unatupa, kushinda na zaidi ya kushinda 
Unatupandisha,utukufu hadi utukufu mungu ×2

Chorus

Uzima wetu, uko miikononi mwako mungu 
Unawapa nguvu, wanyonge na wadhaifu mungu 
Unawanyeshea mvua wema nao waovu mungu 
Mwanadamu nani, wakulinganishwa na wewe mungu
Nani mwenye nguvu, wa kusimama mbele yako mungu ×2

Chorus

Bwana utukufu wako singuse,
mbali utukufu ukurudie wewe mungu wangu

3 comments:

  1. Amen this morning i got this song ringing in my mind, and i just feel blessed more. Thank you servant of God

    ReplyDelete
  2. Am humbled for work done here.
    Thanks n God bless so so much

    ReplyDelete