Ndimurihire Thiire Lyrics – Betty Bayo


Ndi mwihia ona wanyona…
Ndi mwihia ona wanyona…
Kuma riria ndaciarirwo
Ndi mwihia ona wanyona..

Ni tha cia Ngai cianginyiire
Akiruta muruwe, niguo ndure
Akiambwo mutharaba ini niguo ndure
Agikua agithikwo niguo ndure
Akiriuka niguo ndure

Chorus:
Ii ndimurihire thiiri (Nii)
Aa ndimurihire thiri 
Ii ndimurihire thiri (ni Jesu)
Aa ndi murihire thiri 
Ii ndimurihire thiri

Tangazo, tangazo kwa Ibilisi
Mimi sio mateka tena, mimi sio mtumwa
Pale Calvary nililipiwa madeni yangu
Pale msalabani nikawekwa huru
Uhai wangu umelipiwa gharama

Chorus

Amani yangu nimelipiwa gharama
Furaha yangu nimelipiwa gharama
Afya yangu nimelipiwa gharama
Kuishi kwangu nimelipiwa gharama
Pale msalabani Calvary…

Chorus

Nimelipiwa madeni yote
Nimelipiwa madeni zangu
Nimelipiwa madeni yote
Nimelipiwa madeni yangu
Ukiona ninafurahia (nimelipiwa)
Ukiona ninashangilia (nimelipiwa)
Ukiona nina (nimelipiwa madeni zangu)

Chorus

0 comments

Post a Comment